Msanii wa muziki kutoka Uganda, Jose Chameleone Picha Juu akiwa anakamilisha taratibu zote za kusaini mkataba wa kufanya shoo kali Uwanja wa taifa , Jijini Dar es Salaam, Siku ya sabasaba baada ya meneja Mkuu wa Global Publishers, Abdallah Mrisho baada ya kutia timu Entebe

CHAMELEONE AKIJIGAMBA KUFANYA SHOO KALI BAADA YA KUSAINI MKATABA WA MWEISHO , CHAMELEONE AMETOA ONYO KWA DIAMOND ATAMCHAKAZA NA VALIVALU

source:issamichuzi